غرير غازي
New Member
SWALI: Assallam allaikum warahmatullah wabarakatu, Ndungu wahusika, sina shaka email hii itawafika katika hali nzuri na afya njema Baada ya salam ningeomba kuuliza swali juu ya ibada ya Hijja. 1. Je Mwanamke anapokuwa katika ibada ya hijja kwa bahati nzuri au mbaya mwanamke huyu akapata period yake wakati akitekeleza ibada hii (a) Je anatakiwa aendelee na ibada hii au akatishe? kwani tunavyofahamu ndungu zetu hawa wanapokuwa kwenye hali hii hawaruhusiwi kusali bali wanaweza kufanya ibada nyenginezo kama kumtaka mwenyezi Mungu na ibada nyenginezo! please nifafanulize saidi...
JIBU:
JIBU: